• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    IZZO BUZINESS NA KILICHOMKWAMISHA COLLABO NA YCEE

    Mwaka jana mkali kutoka Nigeria,Ycee alidondoka Bongo na kufanya ziara kwenye media mbalimbali kwa lengo la kutangaza muziki wake na kukutana na baadhi ya wabongo Fleva.


    Miongoni mwa vitu alivyovifanya akiwa nchini, ni kolabo ambayo aliifanya na kundi la The Amazing, taarifa ambayo ilithibitishwa na Izzo Bizness.
    Ni muda sasa umepita na hakuna taarifa yoyote juu ya collabo hiyo.
    Kupitia kipindi cha Supermega cha Kings Fm,Izzo ameweka wazi sababu za kuchelewa kwa ngoma hiyo. Izzo Amedai kuwa target yao ilikuwa ni kutoa video pamoja na audio, lakini wamepata ugumu kumpata Ycee ili kushoot video,suala ambalo limefanya washindwe kutoa ngoma hiyo mapema.
    Pia amedai hawawezi kutoa audio pekee kwani sio lengo lao.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad