• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    LADY JAY KUJA NA ALBUM YA 'WOMAN' MARCH 2017

    Chakula kimeiva na sasa kimekaribia kupakuliwa. Lady Jaydee ameanza kuonjesha ujio wa album yake mpya, Woman.


    Kupitia Instagram, Jide ameshare kile kinachoweza kuwa ndiyo cover rasmi la album hiyo. Muimbaji huyo mkongwe pia anatarajia kufanya concert kubwa kwaajili ya uzinduzi wa album hiyo.
    “Natarajia kufanya concert kubwa kwaajili ya launch ya album ya Woman ambayo itakuwa ni mwishoni mwa mwezi March,” Jaydee alikiambia kipindi cha The Playlist cha Times FM.
    “Na album yenyewe nategemea kuitoa mwezi ujao kwasababu siwezi tena kusubiri zaidi. Ilikuwa itoke mwaka jana mwishoni lakini kutokana na mipangilio kuwa haijakamilika, tukaisogeza mbele ili tufanye kitu kizuri zaidi kwa watu. Kwahiyo wajiandae kwa concert kubwa,” aliongeza.
    Jide aliongeza kuwa kabla ya album haijatoka, ataachia nyimbo mbili alizowashirikisha wasanii kutoka nchi za Afrika.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad