• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    PICHA 20: HUYU HAPA MSANII MPYA WA VANESSA MDEE [MDOGO WAKE]


    Usiku wa February 17 2017 Mwimbaji Vanessa Mdee aliandika historia mpya katika maisha yake ya muziki, usiku huo ilikuwa ni maalum kwa Vanessa Mdee kumtambulisha msanii wake wa kwanza kutoka katika label yake ya Mdee Music.
    Mdee Music jana imemtambulisha Mimi Mars kama msanii mpya na kuitambulisha video yake mpya inaitwa Sugar‘ ambayo itaanza kuoneka wiki ijayo mitandaoni na katika TV stations mbalimbali…. hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tukio lenyewe 




















    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad