• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    PICHA: WANAYASANSI WAGUNDUA SAYARI NYINGINE 7


    Wanasayansi kutoka shirika la Marekani la masuala ya anga la NASA wakishirikiana na wengine kutoka Uingereza na Ubelgiji wamegundua sayari nyingine saba ambazo zina ukubwa unaofanana na dunia.
    Wataalamu hao wamegundua kuwa sayari hizo saba zinaizunguka nyota inayojulikana kama Trappist One.
    Wakati huo huo imedaiwa kuwa sayari tatu kati ya hizo saba zimegundulika kuwa kuna uwezekano wa viumbe hai kuishi kwa kuwa kuna huduma muhimu yakiwemo maji.
    Hata hivyo changamoto ambayo kwa sasa wanakabiliwa nao wanasayansi hao ni uwezo wa kuzifikia sayari hizo ambazo ambapo inadaiwa kuwa mpaka kuzifikia kutokana na umbali uliopo ni miaka 40 ya mwanga (speed ya mwanga).

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad