• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    SHAMSA FORD: NAMPENDA SANA GABO ZIGAMBA



    Yawezekana kwa filamu kadhaa ulizowahi kuziona zikiwa na waigizaji wawili Shamsa Ford na Gabo Zigamba zikawa ni miongoni mwa filamu zako bora na ukashindwa kujua kilichopo nyuma ya pazia kinachofanikisha ubora na uhalisia wa filamu hizo.
    Yawezekana ubora huo unaouona unatokana na wawili hao kuona kama hawaigizi na wako real,kupitia page yake ya Instagram,Shamsa Ford amepost picha akiwa na Gabo Zigamba na kuzipa maneno haya >>’kiukweli ni mwanaume pekee ambae nikiigiza naye huwa nasahau kama nina Igiza na kuhisi ni kweli..namkubali sana huyu mmakonde wangu…@gabozigamba1





    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad