• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    JOKATE: DIAMOND PLATNUMZ MCHAPAKAZI SANA


    Jokate alipata fursa ya kuwazungumzia baadhi ya viongozi pamoja na wasanii na kutoa mtazamo wake jinsi anavyowachukulia.
    Mwanamitindo huyo akiwa katika kipindi cha 360 cha Clouds TV Jumamosi hii aliulizwa swali ‘Nini kinakujia kwa haraka unaposikia jina Rais Magufuli, RC Makonda, Zitto Kabwe, Alikiba pamoja na Diamond Platnumz”.
    Akijibu swahi hilo Jokate alisema, “Namfahamu Zitto Kabwe kama mtu smart sana, ukitaja jina la Mh Paul Makonda inanijia picha ya “Mbabe wa Vita” . Ukitaja Alikiba inanijia picha ya muimbaji mzuri. Ukitaja Diamond Platnumz namuona mtu mchapakazi (anajituma sana ). Kuhusu Rais Dr John Pombe Magufuli namuelezea kama TingaTinga ( mtu wa kazi ) , Mh Rais yuko vizuri sana,” alisema Jokate.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad