NEWS: DARASSA ALIA NA TANZANIA MPYA
Hitmaker huyo wa Muziki, ameandika ujumbe ambao umeonekana kuwaumiza na kuwatoa machozi wengi katika mtandao wa Instagram. Kupitia mtandao huo Darassa ameandika:
BABA MUNGU SHUKA WEWE UENDESHE NCHI YETU! BORA TUPOTEE SISI NI SAWA!!!! vip kuhusu watoto wadogo na wanawake!!!! Future ya nchi inaogopesha na huitaji macho kuona hilisina chama wala upande m1 kwenye shilling!!! maana sijui hata nani anatupenda kweli sisi wananchi na atakua tayari kututhamini!

No comments