• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    P-FUNK: DIAMOND ASIPOTULIA WATAMCHOKA MAPEMA


    Producer mkongwe wa Bongo Records, P-Funk Majani, amesema kila siku akiendelea kusikia kuhusu Wasafi, itafika muda atawachoka.

    Amedai kuwa ili label hiyo iendelee kufanya vizuri kwa muda mrefu, ni lazima ibadilishe sound, kuja na ladha au wasanii wapya. Amedai pia kuwa pamoja na ukubwa wa Diamond, kama asipotengeneza hali ya watu kummiss, watu watamchoka mapema.
    Majani amesema hayo kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM kinachoendeshwa na Lil Ommy.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad