PICHA 10: TRENI YA KIFAHARI ILIVYOINGIA TANZANIA
Jana March 11 2017 nchini Tanzania imewasili Treni ya Kifahari ya Kitalii ya Rovos Rail Treni ikiwa na jumla ya watalii 71 ambao walianza safari yao kutoka South Africa March 1 2017.
Kwa mujibu wa msemaji wa Treni hiyo amesema katika safari yao wamepita nchi za Botswana, Zimbabwe, Zambia na leo March 11 2017 ndio wameingia rasmi Tanzania.
PICHA KWA HISANI YA MILLARDAYO.COM










No comments