PICHA 5: BASI LA KAMPUNI YA ILYANA LAPATA AJALI NJOMBE
Usiku wa jana alhamis basi la kampuni ya ILYANA linalofanya safari zake kutoka DAR ES SALAAM kwenda nyanda za juu kusini yaani SONGEA lilipata ajari mkoani NJOMBE wakati likiwa njiani kutoka DAR kwenda songea sehemu inayojulikana kama KIFANYA mkoani NJOMBE.
Chanzo cha ajali bado hakijafahamika na idadi ya majeruhi kama wapo au hawapo endelea kuwa jirani nasi ili kujua zaidi kuhusu ajali hiyo
STAR255.COM Haikuwa nyuma ili kuhakikisha msomaji wetu unapata habari zilizokamilika na kwa uhakika imekuletea picha za tukio zima kutoka njombe
Chanzo cha ajali bado hakijafahamika na idadi ya majeruhi kama wapo au hawapo endelea kuwa jirani nasi ili kujua zaidi kuhusu ajali hiyo
STAR255.COM Haikuwa nyuma ili kuhakikisha msomaji wetu unapata habari zilizokamilika na kwa uhakika imekuletea picha za tukio zima kutoka njombe





No comments