• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    RAYVANNY: MAISHA YANGU NI MOVIE TOSHA


    Msanii wa Bongo Fleva kutoka WCB Rayvanny amefunguka na kuweka wazi tofauti aliyoiona tangia mwaka mmoja aungane na WCB akitokea Tip Top Connection ambako alipokelewa akitokea Mbeya na kusema kuwa maisha yake ni movie kamili kwa jinsi alivyosota mpaka kufikia hapa alipo.
    Rayvanny amefunguka na kusema WCB imemjenga kama brand ukilinganisha na mwaka mmoja alivyokuwa Tip Top Connection pia maisha yake ameyalinganisha kama movie tosha.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad