VANESSA MDEE AKAMATWA NA JESHI LA POLISI
Msanii wa kike nchini Vanessa Mdee inasemekana amekamatwa jioni hii na jeshi la Polisi jijini Dar es salaam,Taarifa kutoka kwenye vyanzo vyetu nyeti vya habari bado havijatoa taarifa ya sababu ya kukamatwa kwake ila tupo njiani kukupatia taarifa zaidi kadri muda unavyozidi kwenda.
Baki na sisi karibu kwenye mitandao yetu ya kijamii kwa jina la STAR255.COM tukujuze kila tukio linalojiri.
CHANZO: DizzimOnline
CHANZO: DizzimOnline

No comments