• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    WEUSI NDANI YA BONGE LA DILI LA UBALOZI

    Weusi wametangazwa Jumanne kuwa mabalozi wapya wa Airtel Tanzania. Wametangazwa kuwa mabalozi wa huduma mpya ya kampuni hiyo iitwayo HATUPIMI BANDO.
    Kundi hilo linaloundwa na Joh Makini, Nick wa Pili na G-Nako limechukua nafasi hiyo kutoka kwa kundi la Navy Kenzo ambao walikuwa mabalozi wa huduma nyingine mwaka jana.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad