• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    PICHA: JOH MAKINI NA DAVIDO WAKUTANA KUSHOOT VIDEO


    Joh Makini kwenye interview zake kadhaa amewahi kupokea maswali mengi sana yanayohusu kolabo kati yake na Mwanamuziki toka Nigeria Davido ambapo stori za wimbo huu kufanyika zilisambaa toka mwaka 2014 Davido alipoletwa na Clouds Media kwa ajili ya tamasha la Fiesta.

    Taarifa njema ikifikie kuwa kolabo hiyo kwa sasa iko kwenye hatua za mwisho kwa sababu Joh Makini ameenda kukutana na Davido South Africa kwa ajili ya kushoot wimbo huo ambao haujajulikana lini utatoka rasmi audio pamoja na video yake.

    Davido alipost picha kwenye ukurasa wake wa instagramm kama inavoonekana hapa chini akithibitisha kuwa kolabo yao ipo njiani kutoka

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad