• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    WAMVAMIA ROMA APELEKWA KUSIKOJULIKANA


    Mbunge wa Mikumi, Joseph Haule aka Professor Jay, amesema rapper Roma Mkatoliki pamoja na rapper Moni Central Zone wamechukuliwa na kupelekwa kusikojulikana na watu waliozivamia studio za Tongwe Records jana usiku.

    Profesa amedai watu hao wamemchukua pia kijana wa kazi, computer ya studio pamoja na TV.
    Hii ni taarifa yake:
    ROMA MKATOLIKI AMEKAMATWA USIKU HUU… Nimestushwa sana kusikia kuwa kuna watu wamevamia studio za TONGWE RECORDS majira ya saa moja usiku na wamemchukua ROMA @roma2030 , MONI @moni_centrozone na kijana wa Kazi na pia wamechukua COMPUTER ya studio na Screen (Tv) na wameondoka navyo kusikojulikana.. Mpaka sasa hatujui wamewapeleka wapi!!

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad