DIAMOND NA MOHOMBI KUTOA NGOMA KESHO
Tulipata nafasi ya kuisikia na kuona performance yake kwenye ufunguzi wa michuano ya kombe la mataifa ya Africa huko nchini Gabon.
Sasa mkali wa muziki mwenye asili ya nchini Sweeden Mohombi ametusanua kwamba ngoma hiyo inaachiwa rasmi siku ya kesho.
Ni kupitia ukurasa wake wa twitter ambapo Mohombi ameweza kutangaza kwamba official video ya ngoma hiyo itaachiwa rasmi siku ya Kesho.
Usikae mbali na STAR255.COM ili kuipata ngoma hiyo kesho

No comments