• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    JUX AMSIFIA SHEMEJI YAKE ANAJUA ZAIDI YA VANESSA.


    Siku ya leo Msanii Jux akipiga Story ktk kipindi cha XXL cha radio Clouds amejikuta akimsimfia mdogo wake na Vanessa mdee aitwaye Mimi Mars kuwa ni mkali wa kuimba kuliko demu wake akinukuliwa na Mtandao wa Perfect225.Com, African Boy aliskika akichezesha taya na kumsfia shemeji yake kuwa ni mkali zaidi ya babe Mama wake Cash madam Vanessa mdee.
    “Kabla sijamuona @Namshalii dada yake tayari alishanitambulisha then nikaja gundua anaimba kuliko @VanessaMdee kuwa anaweza @africanboyJUX”  huyo aliungwa mkono na Mwamba wa kaskazini Joh Makini kuwa Mimi Mars ni mkali zaidi ya Vee embu tuone.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad