PICHA 10: HIVI NDIVYO WALIVOPOKELEWA NJOMBE MJI FC
Timu ya NJOMBE MJI FC kutoka mkoa mpya wa NJOMBE leo ilipokelewa kwa shangwe ya aina yake mara baada ya kuwasili mkoani hapo kwa kufanikiwa kukata tiketi yake ya kucheza ligi kuu TANZANIA BARA msimu ujao.
Viongozi na mashabiki kwa pamoja walijitokeza kwa wingi kuwapongeza vijana wao kwa kazi kubwa waliyofanya
STAR255 imekuletea picha za tukio zima hapa
Viongozi na mashabiki kwa pamoja walijitokeza kwa wingi kuwapongeza vijana wao kwa kazi kubwa waliyofanya
STAR255 imekuletea picha za tukio zima hapa










No comments