• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    PICHA :HIVI NDIVYO JOKATE ALIVYOKUTANA NA FAMILIA YA JAY Z



    Kukutana na Jay Z na Beyonce ni suala gumu, kukutana nao na ukashikana nao mikono na kuzungumza mawili matatu nao ni suala gumu zaidi. Lakini bahati hiyo ya mtende imeamuangukia mrembo wa Tanzania, Jokate Mwegelo Jumapili hii.

    Jojo amefanikiwa kukutana na The Carters wakiwa na mtoto wao, Blue Ivy kwenye mchezo wa NBA All-Star Game uliofanyika Jumapili mjini New Orleans, Louisiana kwenye uwanja wa Smoothie King Center.
    “So NBA Africa took me courtside and I haaaaaaad to say hello to the Carters,” ameandika Jokate.
    “OMG 😭😭😭😭. @beyonce is super cute and I can’t believe she shook my hand and was like nice to meet you. 😍😍🤗🤗. I was like wait I need a picture, I came all the way from Tanzania for this B 😕. She’s so sweeeeeet and I’m so lucky lmao,” ameongeza.
    “Thank you @beylite @balleralert for this pic I couldn’t snap one as I was shocked and still in disbelief. 😳 #Beyonce #Beylite #NBAAfricaGame #NBAAllStar #Kidoti 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.”

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad