• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    SONY MUSIC KUMUINUA WIZKID KIMATAIFA MWAKA HUU



    Ni nadra sana kukuta msanii wa Afrika anafikiriwa kuwa kipaumbele kwa lebo yoyote kubwa ya kimataifa hasa kama Sony Music, lakini kwa nyuzi kali za Bad Man Wizzy ni wazi kuwa wasanii kutoka Afrika wamekuwa wagumu kuwapotezea.
    Mkali wa muziki nchini Nigeria, Ayodeji Ibrahim ‘Wizkid’, adaiwa kuwa ndani ya mwaka huu project zake nyingi zitapewa backup kubwa sana na lebo ya kimataifa Sony Music, na kwa mujibu wa ripoti zilizotolewa, Sony Music imetangaza kuwa kwa mwaka huu Starboy Wizzy ni kipaumbele chao cha kwanza kuhakikisha kuwa staa huyo anafikia malengo yake ya kuwa a Super International star.
    Sony Music kupitia wakurugenzi wake wa RCA Records wamethibitisha tetesi zinazosambaa juu ya maamuzi hayo kupitia press statement inayosema.. “New RCA priorities in 2017 include 18-year-old Texan Khalid, All My Friends singer Tinashe, Nigerian One Dance collaborator Wizkid, hip-hop artist Goldlink and band Muna.”

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad