• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    Video ya Mazoea imenigharimu zaidi kuliko ya Chafu Pozi – Bill Nas

    Rapper Bill Nas amesema kuwa kufanya video ya wimbo wake Mazoea Bongo badala ya Afrika Kusini, hakujaokoa gharama yoyote. Amedai kuwa licha ya video hiyo kufanyika nyumbani, imetumia gharama kubwa zaidi.

    Amesema kile ambacho amekiokoa ni muda tu kwakuwa kama angesafiri kuna vitu vya nyumbani ambavyo angeviacha ‘pending.’
    “Lakini kwenye suala la pesa video ya Mazoea imezidi gharama hadi video ya Chafu Pozi, imezidi sana. Labda kama ningeenda kuifanya kule gharama labda zingezidi sababu ilikuwa ni collaboration labda gharama za kumsafirisha Mwana FA makazi yake kule na vitu vingine, halafu tungesafiri na timu kubwa pia,” Bill Nas amemuambia mtangazaji wa Pride FM ya Mtwara, Eddy Msafi.
    Video ya Mazoea imeongozwa na Msafiri.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad