• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    DIAMOND PLATNUMZ KUWAPELEKA MAHAKAMANI WAMILIKI WA BLOG


    Msanii wa Bongo fleva Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ametisha kuwapeleka mahakamani wamiliki wote wa BLOG ambao watabainika wanapost nyimbo za wasanii wa WCB kinyume na utaratibu waliounzisha wao wa kuuza nyimbo hizo

    Pamoja na hilo taarifa zilizotufikia kutoka kwenye vyanzo vyetu vinadai mmoja wa wamiliki wa BLOG BEKABOY alipigiwa simu suala la kupost ngoma ambazo mkali huyo anaziuza kupitia Platfom yake ya wasafi.com na kutishiwa kupelekwa mahakamani kwa kuwa anakosesha mapato ya wasanii nchini kutokana na kusambaza bure nyimbo hizo.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad