• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    DJ SINYORITA WA CLOUDS FM KUWA PRODUCER


    DJ Sinyorita kutoka kipindi cha XXL ya Clouds FM amefunguka kuzungumzua mpango wake mpya wa kuwa mtayarishaji wa muziki nchini.

    Akiongea na Gazeti la Mwananchi wiki hii, Dj Sinyorita amedai ataingia darasani ili kujifunza muziki kwa ujumla ile aje kutimiza lengo lake la kuwa mtayarishaji wa muziki.
    “Ndiyo nina mpango huo, lakini nikienda sitasoma u-Dj pekee, nafikiria kwenda kusoma muziki kwa ujumla kwa sababu nina mpango wa kuwa mtayarishaji wa muziki,” alisema Sinyorita.
    DJ huyo ambaye awali kuwa EATV, amesema haikuwa rahisi kwake kupata nafasi ya kufanya kazi hiyo kwani amepitia changamoto nyingi.
    Kwa sasa DJ huyo ndiye DJ pekee wa kile Clouds FM baada ya DJ mkongwe DJ Fetty kuachana na kazi hiyo

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad