• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    EDU BOY: VANESSA MDEE ANA ROHO MBAYA


    Underground kutoka Rock City Mwanza Edu boy ameyatoa ya moyoni katika ngoma yake mpya ya Naieee kuwa wasanii wakubwa wenye majina wanawazarau wasanii wadogo.
    Akifanya utambulisho  wa ngoma yake mpya Edu boy amewafungikia wasanii mbalimbali na maproducer wanaobana nafasi kwa wasanii wadogo kuwanyimia mwanga wa kutoka.
    Katika mahojiano yake hayo amesema hawezi kumsahau Vanessa Mdee alimuomba kumpostia cover ya ngoma yake lakini jibu alilopewa na Vanessa lilimkatisha tamaa ya kuendelea kufanya mziki.
    Katika ngoma ya NAIEEE aliyomshirikisha Rapa kutoka LFLG, Bill Nass anasema kila kitu kilichopo kwenye ngoma hiyo ni maisha yake ya kweli kwenye maisha ya mziki.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad