HAWA NDIYO WASANII WALIOPO KWENYE ALBUM YA BARNABA
Mwaka huu kuna wasanii kama kumi hivi ambao tayari wamethibitisha kutoa Album zao na kwenye hiyo Orodha usisahau kumuweka Barnaba Boy kwani nae tayari ameshathibitisha kuachia Album yake mpya mwaka huu.a
Barnaba amefunguka kuwa kuna wasanii wengi International ambao amewashirikisha mda ukifika atawataja na watu watarajie kitu kizuri kutoka kwa Barnaba na mwenyezi MUNGU akijalia itakuja hivi karibuni
Kwa upande wa wasanii wa nyumbani Tanzania Barnaba amefunguka baadhi ya wasanii kuwepo kwenye album hiyo ambayo haijapewa jina bado baadhi ya wasanii hao ni Jux, Vanessa Mdee, Gnako, Linex, Maua Sama na wengine ambao hakuwataja akisisitiza wapo wengi ila muda ukifika watawekwa hadharani
UNGANA NASI USIPITWE NA HABARI MPYA
Facebook: Star255
Instargram: Star255com
Twitter: Star255_

No comments