• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    HAWA NDIYO WASANII WALIOPO KWENYE ALBUM YA BARNABA


    Mwaka huu kuna wasanii kama kumi hivi ambao tayari wamethibitisha kutoa Album zao na kwenye hiyo Orodha usisahau kumuweka Barnaba Boy kwani nae tayari ameshathibitisha kuachia Album yake mpya mwaka huu.a
    Barnaba amefunguka kuwa kuna wasanii wengi International ambao amewashirikisha mda ukifika atawataja na watu watarajie kitu kizuri kutoka kwa Barnaba na mwenyezi MUNGU akijalia itakuja hivi karibuni

    Kwa upande wa wasanii wa nyumbani Tanzania Barnaba amefunguka baadhi ya wasanii kuwepo kwenye album hiyo ambayo haijapewa jina bado baadhi ya wasanii hao ni Jux, Vanessa Mdee, Gnako, Linex, Maua Sama na wengine ambao hakuwataja akisisitiza wapo wengi ila muda ukifika watawekwa hadharani


    UNGANA NASI USIPITWE NA HABARI MPYA

    Facebook: Star255
    Instargram: Star255com
    Twitter: Star255_

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad