• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    HARMONIZE NA WOLPER WAMWAGA MAPENZI YAO HADHARANI


    Msanii wa Bongo Fleva Rajab Abdul a.k.a Harmonize aliyechini ya usimamizi wa lebo ya WCB ameliweka wazi suala la watu kudhani kuwa anaishi  na Jackline Wolpere kama mke na mme.
    Akizungumza kupitia XXL ya Cloud Fm alizikubali tetesi za wawili hao kutokuwa sawa hapa katikati kimapenzi kuwa ni kweli kuna mambo ya kibinadamu yalitokea na kwasasa kila mmoja ametambua udhaifu wa mwenzake lakini mambo yanaenda sawa. kwasasa
    Hata hivyo Harmonize amabainisha kutoishi pamoja na Wolper na kusema kuwa Jackline anaishi kwake na Harmonize anaishi kwake na mama yake na kila mtu anapomhitaji mwenzake wanawasiliana kuona uwezekano wa wao kuonana/kukutana.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad