• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    LINAH AJUTIA UJAUZITO WAKE




    Msanii wa bongo Fleva Linah Sanga huenda hajapenda mabadiliko ya mwili wake baada ya kupata ujauzito kwani mwili wake kwa sasa shepu yote imetoweka kiasi kwamba anakumbuka kama sio ku’miss umbo lake la zamani.

    Linah kupitia ukurasa wake wa Instagram ameposti picha ya zamani akionesha umbo lake lilivyokua zuri enzi hizo na kuandika “Siku za nyuma, dah! Sijui mwili wangu utarudi hivyo“

    Ingawaje hata hivyo mashabiki wake wengi wameonekana kuguswa na kilio chake na kumpa ushauri kuwa ajitahidi mazoezi pindi atakapojifungua na kula mboga za majani.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad