• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    PROFESA JAY ADAI HAKUMCHANA AFANDE SELE

    Rapper Profesa Jay amekana kumchana Afande Sele kwenye wimbo wake mpya wa Kibabe.

    Jay anatuhumiwa kuandika mstari ambao unaonekana kumgusa Afande kwenye wimbo huo. “Usipo nisikia leo ujue kesho narudi, mwambieni mfalme wenu siti yangu aifute vumbi,” amerap Profesa kwenye wimbo huo.
    Akiongea na E News ya EATV, rapper huyo amekana kwa kusema, “Afande Sele mimi ninamheshimu toka yupo Chadema kabla hajaenda ACT na hata wakati tunaanza harakati za kugombea kila mmoja alimtakia mwenzake kila la kheri.”
    “Kingine mimi mpaka leo mtu nayemheshimu katika utunzi wa mashairi nikiwataja kina Jay Moe basi Afande siwezi kumuacha. Alikiba mimi ni mdogo wangu na mimi ni shabiki wake analijua hilo sasa sielewi haya maneno yametoka wapi,” ameongeza.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad