• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    QUEEN DARLEEN: NIMEMMISS ALIKIBA


    FIRST Lady wa Wasafi Classic Baby (WCB), Mwanaisha Abdul ‘Queen Darleen’ amefunguka kuwa hajawahi kumkosa (kummisi) staa mwenzake wa Bongo Fleva, Ali Kiba ambaye kitambo alikuwa mshkaji wake wa karibu.
    Akipiga stori na Show Biz Xtra,Queen Darleen alisema kuwa, mara ya mwisho kuwasiliana na Kiba ni miaka mingi iliyopita na wala hashangazwi na kushtushwa na ukimya huo kwa kuwa huwa anamuona kwenye runinga akiwa fiti.
    “Nina miaka mingi sana sijawasiliana naye wala sijammisi sababu kila siku huwa namuona kwenye runinga, bila shaka atakuwa buheri wa afya. Hata namba niliyokuwa nayo sina uhakika kama ni ileile au amebadilisha, kama bado anayo ipo siku nitamcheki ila kama amebadilisha ndiyo nitolee,’’ alisema Darleen.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad