• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    JOH MAKINI: NGOMA YANGU NA DAVIDO NI MOTO


    Davido na Joh Makini kwa sasa wako South Africa na kubwa zaidi lililowapeleka huko ni kutengeneza video ya wimbo wa Joh Makini ambao ndani yake kamshirikisha Davido,wimbo ambao kihistoria ya nyimbo zilizorekodiwa kipindi cha nyuma bila kuachiwa rasmi inaingia kwenye list hiyo.
    kupitia Snapchat ya Davido na instagram ya Davido alithibitisha utokaji wa kolabo hiyo ambayo maneno yalianza kuwa mengi zaidi,Joh Makini amehojiwa na XXL ya Clouds FM na amesema>’Huu wimbo haukutoka mapema zaidi kwa sababu tulipourekodi hatukupanga utoke haraka kiasi hicho’
    ‘Muziki ambao tumeutengeneza na Davido sio muziki wa kupitwa na wakati hakuna mtu alikua na stress suala la huu wimbo kuwa ndani,kwa sababu mimi nimeendelea na kazi zangu na ngoma nyingi kali zimetoka baada ya huu wimbo na hakuna kitu kimeharibika na Weusi wako juu’
    ‘Davido ndiye aliyenicheki juzi kati kwamba sasa mwanangu time imefika tukutane South Africa tufanye video ya huu wimbo,hivyo nikasafiri kutoka Bongo tukakutana South Africa,watu wasiwe na haraka tuwe na moyo wa subira,nina ngoma nyingi sana nimefanya na wasanii wa nje zipo ndani tu’. -Joh Makini.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad