• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    VIDEO: BAHATI X RAYVANNY| NIKIMBUSHE |Mp4 Watch| Download


    Bahati ni msanii wa muziki wa injili aliye na nafasi nzuri kimuziki nchini Kenya ambaye ameingia katika matumizi ya sauti kwenye muziki na Rayvanny na kufanikisha wimbo unaokwenda kwa jina ‘Nikumbushe’.
    Utayarishaji wa wimbo umeanzia kwenye mikono ya mtayarishaji Lizer kutoka Wasafi Recods na kushirikiana na Paulo kutoka Emb Records kisha video ikafanyika chini ya uongozaji wa X Antonio.
    Kazi hii ya Nikumbushe ni wimbo wa msanii wa pili wa injili kutoka nchini Kenya kuingia katika mkataba wa kuuza muziki kupitia Wasafi.com baada ya Willy Paul.

    https://cloudup.com/files/ivHv2yr9Sd1/download

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad