• MUHIMU

    NDUGU MSOMAJI WETU ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU SASA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO/MUZIKI WAKO NASI KWA BEI NAFUU SANA AMBAYO ITAKUFANYA UWIFIKIWE NA WATEJA WENGI NCHINI.PIA TUNATOA HUDUMA ZA BLOG DESIGN NA ANDROID APLLICATION TUPIGIE 0655569428 AU FOLLOW INSTAGRAM @star255com FACEBOOK:sta255 TWITTER: star255_ KARIBUNI SANA.>>

    PICHA: DAVIDO AKILA BATA NA MREMBO WA TANZANIA




    Kwa wapenzi wa Instagram, Tuerny si mgeni katika macho yao.

    Ni mrembo ambaye profile yake inaonesha kuwa ni makeup artist. Anafahamika kwa kuishi maisha ya kula bata na kusafiri kila leo.

    Inasemekana kuwa mrembo huyo ni moja ya warembo ambao staa wa Nigeria huwafaidi kwa muda tu. Vyanzo vilivyo karibu na mrembo huyo vinadai kuwa wamekuwa pamoja kwa takriban miaka minne na uhusiano wao ni ule wa ‘friends with benefit’ kwamba kila mmoja ana maisha yake, wakimisiana basi mrembo hula flight kukutana na Davido na kupeana raha.
    Wawili hao wamekutana wiki iliyopita na picha yao wakiwa pamoja imesambaa mtandaoni.

    “Kwenye instastory yake wapo kitandani Davido kavaa bukta naona pale walikuwa wanachukua video tu,” ameandika shabiki mmoja.


    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad