ALICHOPOST RIHANNA KUHUSU DIAMOND PLATNUMZ
Kumekuwepo na tetesi mbalimbali kwamba mwanamziki anaefanya vizuri kwa sasa na ngoma yake ya Marry You Diamond Platnumz kuwa yupo mbioni kutoa album yake ambayo haijawahi kutokea Tanzania hii ni kutokana na kuhusishwa kuwashirikisha wasanii wakubwa kutoka Marekani akiwemo Rick Ross
Sasa kuhusiana na hilo huenda Diamond Platnumz yupo kwenye harakatai ya kutaka kumshirikisha mwanadada alietamba sana Nchini kupitia wimbo wake wa WORK aliomshirikisha DRAKE hapa namzungumzia Rihanna ambaye hivi juzi alipost kupitia ukurasa wake wa Twitter kwamba yeye msanii wake bora wa Afrika ni Diamond Platnumz
Hii itakuwa ni hatua nzuri kwa Diamond na watanzania kwa ujumla kuhakikisha mziki wetu unafikia hatua nzuri ulimwenguni


No comments